KUNA mechi mbili za kibingwa zinachezwa leo ndani ya Ligi Kuu Bara zikihusisha timu zinazoshika nafasi nne za juu kwenye msimamo, huku moja ikiwa inapambana isishuke daraja.
HATIMAYE Simba Queens imeipokonya JKT Queens ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake leo baada ya kuitandika Mashujaa Queens mabao ...
Mashabiki wa Simba wameanza kujinasibu kuwa safari hii ni ya kufuta uteja, wakikumbushia maumivu ya kupoteza michezo sita mfululizo dhidi ya watani wao wa jadi na mashabiki wa Yanga nao wanaonekana ...
Dabi ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga nchini Tanzania imeendelea kuthibitisha ukubwa wake, safari hii ikichezwa katika mazingira ya kipekee, kwenye uwanja wa kambini ama jeshini, Meja Jenerali ...
Yanga ndiyo kinara kwa kupata ushindi mara nyingi zaidi ya Simba tangu kuanza kwa Ligi ya soka Tanzania bara JUMAMOSI ya Septemba 26 moto utawaka uwanja wa taifa Dar es Salaam wakati miamba ya soka ...
Tanzania inaweza kusimama kwa muda Jumamosi kupisha pambano la watani wa jadi Simba na Yanga ambalo limepangwa kupigwa uwanja wa Taifa Dar es Salaam kuanzia saa 10: 00 za jioni. Mabingwa watetezi ...
Msemaji wa klabu ya Simba Ahmed Ally, amesema walilenga kuidhalilisha Yanga kwa kuwafunga, kwa sababu ya maandalizi mazuri waliyofanya, kuelekea dabi hiyo ya Kariakoo. “Tumeonesha kiwang cha juu cha ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results